
UbugumaBwemisoreYekifuliru
Ubuguma • Bwemisore •Ya Abafuliru
About
Sheria
Wanachama wote kwa ujumla: Ni wanachama wa kawaida wote kwa ujumla wanao toa michango
na kuhusika na shughuli za ndani na nje ya ubuguma bwe’misore yekifuliru U.S.A ila ambao sio
viongozi.
II. WANACHAMA WAPYA
Tunapopata wanachama wapya ambao wanataka kujiunga katika umoja wetu wa Ubuguma
bwe’misore yekifuliiru Marekani, vigezo vifuatavyo lazima vizingatiwe.
Kamati ya uongozi itapewa taarifa na mawasiliano ya ndugu anae taka kujiunga na umojawetu,
msemaji wetu mkuu atawasiliana na ndugu huyo na kumsikiliza na kumpa taarifa, kanuni na
misingi ya umoja wetu. Ndugu huyo ni lazima awe mkaaji wa hapa Marekani, awe Mufuliiru wa
baba na mama ao baba, na awe ametimiza umri usiozidi miaka kumi na minane(18) Msemamaji
wetu atakapomaliza kuongea nae, atawasilisha taarifa zake kwenye kamati kuu na kamati
ikiridhika, ndugu atatumiwa fomu ya usajili na kukaribishwa katika umoja wetu.
Mtu yeyote anaye omba kuwa mwanamemba ao kama tayari ni mwanamemba anaweza
akakataliwa uanamemba ao uanamemba wake unaweza kusitishwa iwapo itabainika ao
kuzibitishwa yakwamba ndugu huyo:
▪ Sio mkaaji wa Marekani
▪ Sio mufuliru wa asili ya baba na mama
▪ Sio mufuliru wa asili ya baba.
Mwanachama anapo amua ku left kundi bila sababu yeyote kwa mda wa miezi miwili bila
kutaarifu uongozi sababu ya kuondoka kwake, iwapo ataamua tena kurudi kwenye kundi
atatakiwa kutowa $100 ili aruhusiwe kurudi kwenye umoja wetu.
III. MICHANGO
Kama desturi na kawaida yetu kila mwanachama kiongozi ao asiyekuwa kiongozi alie
orodheshwa katika kitabu chetu cha uanachamana atakua anatoa mchango usiozidi $150 kwa
mwaka. Mchango huo utatolewa kwa kupelekwa kwa mlinda hazina wetu ao unaweza kuwa
deposited katika account ya ubuguma bwemisore yekifuliiru itakapo imarishwa.
Nilazima kila mwanachama awe anatoa mchango wake wa kila mwaka kwa uendelezi wa
ubuguma. Na ikumbukwe ya kwamba mchango huu ndio unao kuimarisha wewe kuwa
mwanachama. Mchango huu utakua ukipokelewa kuanzia mwezi wa kwanza hadi wa tisa,
ianahitajika kufika mwezi wat isa kila mwanamemba ameisha wakilisha mchango wake wa mwaka.
Unapotoa mchango wako fahamu ya kwamba hauwezi ukarudishwa kwa sababu yoyote ile. Tofauti
na michango yetu hii ya mwezi vile vile tunayo michango ya dharura ambayo itakua inajitokeza
iwapo mmoja kati ya wanamemba wetu anapatwa na dharura zifuatazo;
▪ Kilio (vilio) kila mwanamemba atachangia $100
▪ Graduation kila mwanamemba atachangia $25
▪ Kuowa ao kuolewa kila mwanamemba atachangia $50
▪ Mchango wa mkutano wa kila mwaka $100
Michango yote ile itakua inatolewa kwa niaba ya ubuguma bwe’misore yekifuliiru U.S.A. na
utumiaji mbaya wa michango ya kamati hatua kali itachukuliwa kwa atakae tumia vibaya mali ya
ubuguma ikifuatana na kusimamishwa katika shughuli zote za buguma na hata kufukuzwa.
V. FAIDA KWA WANACHAMA
Faida (misaada) nyingi na tofauti zitakua zikitolewa kwa wanachama wa buguma bwe’misore
ye kifuliru U.S.A kufuatana na hali itakayo jitokeza na kufuatana na katiba yetu inavyo sema.
Baadhi ya faida zitakazo tolewa ni pamoja na:
a. Kilio (vilio)
b. Magonjwa
c. Uzazi
d. Kuhitimu shule (graduation)
e. Kuowa na kuolewa
f. Tunapo pata wageni (vijana wapya wa kifuliru wanapo wasili hapa nchini Marekani).
Ili mwanachama anufaike na misaada hii kunavigezo ambavyo vinatakiwa kufuatwa.
a. Kilio (Vilio)
Kama tunavyo fahamu sote tuna aina tofauti za vilio; kilio cha mwanamemba kinapo tokea hapa
hapa Marekani; kilio kwa mwanamemba toka nyumbani Africa.
i. Kilio kwa mwanamemba kinapo tokea hapa hapa Marekani
tutakapo mpoteza mwanakamati (mke, mme, single) hapa kwetu Marekani kila mwanachama
atachangia $100. Pesa hizo zitasaidia katika mipango na maandalizi yote ya kilio; Kamati
itawasiliana na familia na wasimamizi wa msiba huo na kuwakilisha pesa hizo ili zisaidie katika
maandalizi ya msiba huo. Kilio kitakapo kwisha kamati itakutana na kujadili matumizi ya pesa
hizo ilivyo kwenda. Mwanamemmba atakapo mpoteza Mtoto wakujizalia, baba ao mama mzazi,
kila mwanamemba atatoa $50 zitakazo tumwa kwa mwanamemba na kumsaidia katika kipindi
hicho kigumu atakachokua anapitia.
ii. Kilio kutoka Africa na maeneo mengine.
kilio kwa mwanamemba ambacho kimetoka Africa na maeneo mengine kitakacho kua
kinashughulikiwa ni iwapo mwanachama atakua amepoteza ndugu wafuatao;
baba ao mama mzazi, mtoto wako wakujizalia, mme ao mke wako wa ndoa.
Hao ndio watu kilio chao kitashughulikiwa. Iwapo mwanachama atapoteza mmoja wao.
Kilio hicho kitakapo jitokeza kitashughulikiwa kama ifuatavyo; $25 zitatozwa kwa kila
mwanamemba na kupatia mwanachama aliye mpoteza ndugu kwa ajili ya maandalizi ya msiba.
Ili mwanamemba aliyefariki hapa Marekani aidha kufiwa na mtu hapa Marekani aidha kutoka
nje ya Marekani anufahike na hayo yote yaliyotajwa hapo juu lazima vigezo vifuatavyo viwe
vimetimizwa na mwanamembahuyo aliye fariki ao kufiwa. Vigezo hivyo ni kama vifuatavyo:
History
Viongozi
Matangazo
Videos za Kundi
Picha
Sherehe / Arusi

Save The Date SATURDAY-JUNE 13,2026
Wedding Invite
Wanaofunga ndoa: MG LAMBRET & GEORGETTE
Tarehe: SATURDAY-JUNE 13,2026
Mahali: 1165 CENTRE PKWY LEXINGTON, KY 40517 UNITED STATES

BONHEUR & RITA
Save The Date JUNE 28, 2026
Wedding Invite
Wanaofunga ndoa: BONHEUR & RITA
Tarehe: JUNE 28, 2026
Mahali: SAN DIEGO, CALIFORNIA

FAIZI & FURAHA
Save The Date SATURDAY, JUNE, 20TH, 2026
Wedding Invite
Wanaofunga ndoa: FAIZI & FURAHA
Tarehe: SATURDAY, JUNE, 20TH, 2026
Mahali: CHURCH:SYMPHONY CIR BUFFALO NY 14201, RECEPTION:3165 BAILEY AVE. BUFFALO, NY 14215.AT 3:30PM.

JUMA ABEDI & PRISCA MUTULIVU
Save The Date AUG 01, 2026
Wedding Invite
Wanaofunga ndoa: JUMA ABEDI & PRISCA MUTULIVU
Tarehe: AUG 01, 2026,
Mahali: 7420 SW 9TH STREET DES MOINES, IA 50315, 1250 NE 56TH ST PLEASANT HILL, IA 50327 UNITED STATES
Members
MUSA RUVUBIKA
member
Adeline Juma
Adolphine Maombi
member
Agnes Bagaluha
member
Alex
member
Alexis T Mafuta
member
Aline Apolina
member
Aline Apoline
member
Amos Gentil
member
Beteli Musafiri
member
Bienvenu Marko
member
Bonheur Muhuzi
member
Busare Reke
member
Chance Bukuru
member
Chris Mapenzi
member
Daniel Shambale
member
Dieu-Fidele Basimise Munano
member
Dina Kasigwa
member
Emmanuel Fataki
member
Fazili Rajabu
member
Fidele Bakita
member
François B. Kulolwa
member
Freddy Rusimbana
member
Georgette Shimambo
member
Gloria Queen
member
Gretta Kubembeleza
member
Imani Malgha Baraka
member
Ismail Makonero Bayuku
member
Jacques Bulimbi
member
Jeanne Kabemba
member
Jules Bakita
member
Julita Rajabu
member
Lily Mbambane
member
Mathayo Reke (Matthias)
member
Merci Matiabu David
member
Moise Paulo
member
Mwavita Rajabu
member
Nabunyere
member
Roda Kituza Lazaro
member
Roger Kongwa
member
Sara Rajabu
member
Shebyage Mushalizi Sandowa (Mr. Mkubwa The Mc)
member
Stefano Z Ruvubika
member
Joyce Ruvubika
member
Adela Ngandu
member
Shukrani Matabishi
member
Ujumbe Alex
member
Zaina Shendera
member
Zena Mami
member
Join Group / Jisajili Kujiunga
Malalamiko
Trico / T-Shirts

Ubuguma Bwemisore Yekifuliru T-shirt
Ubuguma Bwemisore Yekifuliru T-shirt
Price: 50
Sizes: L,M,S,SLX
Colors: White,Blue,Read,Yellow,
Buy NowMichango / Donation
Alexis Matosha
Zelle.(Alexis Matosha)
5053066171
[email protected]
5621 Acoma road SE 15B


